Thursday, September 25, 2014

HISTORIA YA SANAA ZA JUKWAANI YA ANDIKWA

Usiku wa tar 23 Septemba 2014 Historia mpya ya shughuli za Sanaa za Jukwaani chini YMCA-YWCA Lushoto imeandikwa ambapo Waigizaji kutoka Kanda mbili walionyesha umahiri wao.
Kanda ya Bumbuli kwa kucheza Lap kuhusu Suala la Ukimwi kwa wanafunzi  na Kanda Tanga Kucheza  igizo juu ya madhara ya Wazazi kutotilia maanani masuala ya elimu kwa watoto wao.
Meneja Miradi Bw. P.Jally akitoa matangazo mafupi kabla ya Maigizo

Kijana aliyeathiriwa na madawa ya kulevya baada ya kushindwa shule
Binti aliyepata Ujauzito Baada y kushindwa na Shule.
Vijana wenye maisha bora baada kumaliza shule vizuri

Binti akitaka kujiua kwa kujichoma kisu tumboni.
 
Jamii ikiweka mipango ya kuwasidia na kuwanasihi.....!!


Jamii ikiwasaidia.............!!.......Mwisho

Wanamichezo wakicheza Wimbo wa Rose Muhando Utamu wa Yesu

Wednesday, September 24, 2014

SHUGHULI YA UZINDUZI KWA PICHA

Hapa tukio kwa tukio siku ya kwanza ya michezo. Ambapo mechi ya awali ni Netball kati ya kanda ya Mlalo na Wenyeji Kanda ya Lushoto. Mpira wa Miguu hali kadhalika ni Kanda ya Mlalo na Kanda ya Lushoto.Ona hapa....................


 





 

Mgeni rasmi akikagua timu za Netball kabala ya Mechi
Mpambano wenyewe.......................!!!
 

Kazi kwako refarii................!!

Mgeni rasmi akikagua Timu za Mpira wa Miguu




Michezo amani tusaidieni kutunza nidhamu ya mchezo.....!!!
 
Sala kabla .....................!!

UFUNGUZI WA TAMASHA


KARIBU KATIKA UFUNGUZI WA TAMASHA LA MICHEZO INAYOSIMAMIWA NA YMCA-YWCA LUSHOTO



Tamasha la Michezo lilifunguliwa rasmi na Mchungaji Edward Msocha 
ambaye ni Msaidizi wa Mkuu wa Dinary ya Kusini ya DKMs – KKKT
Akitoa salam zake kwa vijana akiwaasa Vijana kutumia michezo hii kwa ukamilifu kwa kuitumia , kuendeleza amani ya nchi yetu ya Tanzania. Aidha amewataka vijana kutotumiwa na wakubwa wa kisiasa au wajinsi yoyote kufanya vurugu za aina yoyote mahali walipo. Vijana wakitumia Kauli mbio ya isemayo YOUTH PEACEMAKERS ( VIJANA WALETA AMANI). Naye mgeni rasmi akitumia neno ShaloomAmani iwe nawe ,iwe nanyi.......

Waiendesha Baiskeli wakiwa tayari kwa ufunguzi.

 

Wanamichezo wakimsikilza mgeni Rasmi
Taifa la kesho nao walishiriki................!!

 

  
Kwenye Mstari..............Kaa tayari................Go.............!!

 Ufunguzi wa riadha ukifanya na wajumbe wa Bodi na mtumisha Bw.P.Jally

Hongera mzee Mwakatobe..................!!!