Ile siku iliyosubiriwa
na vijana wengi karibu wa Mkoa mzima wa Tanga imekamilika kwa matayarisho yote
muhimu.
Hili ni Tamasha la pekee la Kimichezo
linalofanyika katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU)
kuanzia tar 23-27 Septemba 2014. Vijana wapatao 160 kutoka kanda kuu tano za Mkoa
wa Tanga zinashiriki ambazo ni Kanda ya Mlalo, Kanda ya Mtae, Kanda ya Lushoto,
Kanda ya Bumbuli na Kanda ya Tanga. Tamasha litahusisha michezo ya Riadha,Mpira wa Pete,Michezo ya kuigiza,mpira wa miguu,Mashindano ya Baiskeli na kuvuta kamba.
Ujumbe mkuu wa YMCA-YWCA LUSHOTO
Viwanja kwaajili ya Riadha vikotayari
Ukumbi na Jukwaa litakalotumika kwa Sanaa za maigizo lipo tayari
No comments:
Post a Comment