Thursday, October 17, 2013

STOP POVERTY-TOKOMEZA UMASKINI



Vinywani mwa  vijana wengi  maneno haya  STOP POVERTY/TOKOMEZA UMASKINI” yalisemwa sana.Kama alivyoweka kifua chake mbele mshiriki akisomeka STOP PORVETY

 Ni kauli mbiu ya Tamasha la vijana Wilayani Lushoto lenye misingi ya kuwasaidia vijana kujitambua katika kupambana na Umaskini miongoni mwao.

Ni kweli umaskini upo miongoni mwetu je Tunajitambua?????

Shiriki kikqamilifu katika shughuli za YMCA-YWCA Lushoto utatambua mengi kuhusu maisha ya vijana na changamoto zake.

Mrabitu na mjumbe wa Bodi mr Mtangi katika Pozz na wadada katika kumsaka mshindi wa tatu wa Netball
 

 Yes. !!!!!  Lazima kieleweke mshindi wa tatu.

 

 

 Sala kwanza kabla ya Mpambano.!!!




 Ama zao Ama zetu.

  Baada ya yote Nasaha za mwisho!!!!

No comments:

Post a Comment