Vinywani mwa vijana
wengi maneno haya “STOP
POVERTY/TOKOMEZA UMASKINI” yalisemwa sana.Kama alivyoweka kifua chake mbele
mshiriki akisomeka STOP PORVETY
Ni kauli mbiu ya Tamasha
la vijana Wilayani Lushoto lenye misingi ya kuwasaidia vijana kujitambua katika
kupambana na Umaskini miongoni mwao.
Ni kweli umaskini upo miongoni
mwetu je Tunajitambua?????
Shiriki kikqamilifu katika shughuli za YMCA-YWCA Lushoto
utatambua mengi kuhusu maisha ya vijana na changamoto zake.
| Mrabitu na mjumbe wa Bodi mr Mtangi katika Pozz na wadada katika kumsaka mshindi wa tatu wa Netball |
Yes. !!!!! Lazima kieleweke mshindi wa tatu.
Sala kwanza kabla ya Mpambano.!!!
Ama zao Ama zetu.
Baada ya yote Nasaha za mwisho!!!!
No comments:
Post a Comment