Saturday, October 19, 2013

TOUR de LUSHOTO


MASHINDANO YA BAISKELI LUSHOTO
26TH OCTOBER 2013

Mnakaribishwa wote katika mashindano ya baiskeli yanayojulikana kama
TOUR de LUSHOTO
Yatakayofanyika tar 26 October 2013 kuanzia viwanja vya michezo Lushoto Sabasaba- Ghana-Kwesimu-Kwembago-Maguzoni-IJA Ghana –Sabasaba. Umbali wa KM13 (Kumi na Tatu).
Muda wa kuanza ni saa 1.00 asubuhi
Wote wanaohitaji kushiriki wajiandikishe katika ofisi yetu ya YMCA-YWCA Lushoto au simu 0715919103
Kila mshiriki atapewa Baiskeli ya kufanyia mashindano maadam awe na kitambulisho kinachokubalika Kiserikali (kama Leseni ya udereva au Kitambulisho cha upigaji kura au kadi ya benki au mdhamana anayekubalika.

ZAWADI NONO ITATOLEWA KWA MSHINDI WA KWANZA, PILI NA TATU.
KARIBU SANA.

No comments:

Post a Comment