TAMASHA LA MICHEZO YA VIJANA LA FANA LUSHOTO
Na Thomas Mgonda (Lushoto)
Tamasha la Vijana lenye kauli
mbiu TOKOMEZA UMASKINI. (STOP POVERTY)
lafanyika kwa mafanikio makubwa katika Chuo
Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa. (SEKOMU) .Timu kutoka kanda nne
za Wilaya ya Lushoto zilichauana vikali katika michezo mbalimbali.
Ambazo ni Kanda ya Bumbuli, Kanda
ya Mtae, Kanda ya Mlalo na Kanda wenyeji Lushoto. Akifungua Tamasha hilo Mchungaji Godfrey
Walalaze ambaye ni Mratibu wa YMCA-YWCA Lushoto, aliwataka Vijana kutumia michezo katika kupambana na Umaskini kwa
kufanya kazi kwa bidii. na kuitumika jamii yao. ".....Vijana kumbukeni kuwa michezo ni ajira....." Mch. Walalaze Aliwataka Vijana Wilayani Lushoto
kutobweteka katika shughuli zao za siku kwa siku ikiwepo kutimiza wajibu wao
kwa familia, jamii yao
na Taifa kwa ujumla.
Aidha aliwataka vijana kucheza kwa nidhamu ,furaha na kuheshimiana kwa kila namna.
Aidha aliwataka vijana kucheza kwa nidhamu ,furaha na kuheshimiana kwa kila namna.
katika michezo kwa ujumla, timu ya
kanda ya Mlalo ya mpira wa pete iliibuka mshindi wa kwanza na timu ya Kanda ya Lushoto iliibuka mshindi
wa kwanza katika mchezo wa mpira wa miguu.
Hapa jinsi vijana walivyafalia.....
Timu za mprira wa pete toka Bumbuli na Mlalo wakikaguliwa
Kiongozi wa YMCA madam Crala na Mr kamote katika picha ya pamoja na wachezaji
Sala kwanza
FOOTBALL/MPIRA WA MIGUU HAOO!!!
Mratibu wa YMCA-YWCA Mch.G. Walalaze akiwatia moyo vijana!
Tuna pendeza sana ......
Waamuzi katika pozzz lao!!
Mungu Tusaidie sana Mechi hii!!
No comments:
Post a Comment